Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillius Wambura kuendelea kukazia maadili huku akimtaka kukaza buti ili jeshi linyooke.
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillius Wambura kuendelea kukazia maadili huku akimtaka kukaza buti ili jeshi linyooke. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Septemba 4, 2023 katika hafla ya ufunguzi wa kikao kazi cha maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi unaofanyika Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live