Thu, 29 Oct 2020
Chanzo: millardayo.com
Denis Lazaro wa CCM ameshinda kiti cha ubunge akipata kura 31,411 (62.7%) dhidi ya Joseph Haule wa CHADEMA. Pia kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, CCM imeshinda udiwani katika kata zote 40.
Denis Lazaro wa CCM ameshinda kiti cha ubunge akipata kura 31,411 (62.7%) dhidi ya Joseph Haule wa CHADEMA. Pia kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, CCM imeshinda udiwani katika kata zote 40. LIVE: SUGU ASHINDWA UBUNGE MBEYA MJINI, TULIA AIBUKA KIDEDEA
Chanzo: millardayo.com