Sat, 24 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
EXCLUSIVE:Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba amezungumzia siasa ya Tanzania kwa ujumla huku akitaka watu wapinzani kuacha tabia ya kusubiri mabaki kutoka CCM. prof. lipumba ametoa mfano wa Chadema kumchukua Mh. Edward Lowassa akiyekuwa CCM na kumuacha Dkt. Willbroad Slaa.
EXCLUSIVE:Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba amezungumzia siasa ya Tanzania kwa ujumla huku akitaka watu wapinzani kuacha tabia ya kusubiri mabaki kutoka CCM. prof. lipumba ametoa mfano wa Chadema kumchukua Mh. Edward Lowassa akiyekuwa CCM na kumuacha Dkt. Willbroad Slaa.
Chanzo: bongo5.com