Tue, 18 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maandamano ya Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT Wazalendo kuelekea Ikulu jijini Dar es Salaam yamezuiwa na Jeshi la Polisi.
Maandamano ya Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT Wazalendo kuelekea Ikulu jijini Dar es Salaam yamezuiwa na Jeshi la Polisi. Vijana hao walikuwa wakiandamana kufikisha ujumbe kwa Rais Samia Suluhu Hassan awachukulie hatua wote waliotajwa kwa upotevu wa fedha katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live