Tue, 19 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
Hizi ni baadhi ya picha za matukio mbalimbali yaliyotokea katika mkutano Mkuu wa 9 wa CCM uliokuwa ukiendelea mjini Dodoma,Ambapo kulikuwa na mchakato wa kumchagua Mwenyekiti wa chama hicho. Mkutano huo unatarajiwa kuisha tarehe 19 Disemba mwaka huu.
Hizi ni baadhi ya picha za matukio mbalimbali yaliyotokea katika mkutano Mkuu wa 9 wa CCM uliokuwa ukiendelea mjini Dodoma,Ambapo kulikuwa na mchakato wa kumchagua Mwenyekiti wa chama hicho. Mkutano huo unatarajiwa kuisha tarehe 19 Disemba mwaka huu.
Chanzo: bongo5.com