Tue, 24 Aug 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni agosti 24, 2021 ambapo Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa amefika bungeni muda huu kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
.
.
.
.
Chanzo: millardayo.com