Mon, 23 Aug 2021
Chanzo: millardayo.com
NI Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ambae Agosti 23, 2021 tayari amefika Bungeni mkoani Dodoma kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Camera za Ayo TV & millardayo.com zimemnasa Mbunge huyo Gwajima wakati akiingia Bungeni.
Chanzo: millardayo.com