Wed, 23 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia amezindua chuo cha uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kibaha kwa Mfipa mkoani Pwani.
Uzinduzi huo umefanyika leo Februari 23, 02, 2022 Mkoani hapo na inaelezwa kuwa chuo hicho kinamilikiwa na CCM chini ya ushirikiano wa vyama sita rafiki vilivyopigania ukombozi katika nchi za Kusini mwa Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live