Ni April 30, 2021 ambapo Chama cha Mapinduzi CCM kimelifanya mkutano wa kumchagua mwenyekiti wa chama chao ambapo Rais Samia Suluhu Hassan ameibuka kuwa Mwenyekiti hicho kwa asilimia 100, Kura zilizopigwa ni 1862 na kura zote ni za ndio hakuna kura ya hapana.
Haha nimekuwekea picha 15 ujionee shughuli mbalimbali huku waliohudhuria mkutano huo wakiwemo wasanii na viongozi huko mkoani Dodoma.
.
.Pichani Msanii wa Bongo Flevani, Lulu Diva
.Pichani ni Mwigizaji wa Filamu, Wema Sepetu ni miongoni mwa watu waliohudhuria mkutano wa CCM unaoendelea mkoani Dodoma ni miongoni mwa wasanii waliohudhuria mkutano mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma wa kumchagua Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Samia Suluhu Hassan ameibuka kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa asilimia 100, Kura zilizopigwa ni 1862 na kura zote ni za ndio hakuna kura ya hapana
.Pichani (Kushoto) Mkuu wa Wilaya ya Hai, Sabaya ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria mkutano mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma wa kumchagua Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Samia Suluhu Hassan ameibuka kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa asilimia 100, Kura zilizopigwa ni 1862 na kura zote ni za ndio hakuna kura ya hapana
.
.
.
.Wasanii mbalimbali ni miongoni waliohudhuria mkutano mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma wa kumchagua Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Samia Suluhu Hassan ameibuka kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa asilimia 100, Kura zilizopigwa ni 1862 na kura zote ni za ndio hakuna kura ya hapana
.
.
.
.
.
.Irene Uwoya ni miongoni mwa wasanii waliohudhuria mkutano mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma wa kumchagua Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Samia Suluhu Hassan ameibuka kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa asilimia 100, Kura zilizopigwa ni 1862 na kura zote ni za ndio hakuna kura ya hapana
.
LIVE: RAIS SAMIA ANAPIGIWA KURA KUWA MWENYEKITI WA CCM TAIFA – DODOMA