Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka amesema hayati Ali Hassan Mwinyi, alikuwa ni mwanamageuzi katika nyanja za uchumi, siasa na kijamii, kwani aliweza kuikabili hali ya kiuchumi wakati akiingia madarakani., Pia aliruhusu vyama vingi na kuendelea kuunganisha Zanzibar na Tanzania Bara katika wakati wake
Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka amesema hayati Ali Hassan Mwinyi, alikuwa ni mwanamageuzi katika nyanja za uchumi, siasa na kijamii, kwani aliweza kuikabili hali ya kiuchumi wakati akiingia madarakani., Pia aliruhusu vyama vingi na kuendelea kuunganisha Zanzibar na Tanzania Bara katika wakati wake Ole Sendela amesema hayo kwenye hafla ya kuaga mwili wa Rais Mwinyi katika Uwanja wa New Amaan Zanzibar ambapo viongozi mbalimbali na wananchi wanashiriki.