Sun, 22 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) amempongeza Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) amempongeza Paul Makonda aliyeteuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi. Nape ambaye amewahi kushika wadhifa huo licha ya kumpongeza pia amemtakia heri katika utekelezaji wa majukumu yake mapya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live