Sat, 29 Jul 2023
Chanzo: Mwananchi
Mzee wa miaka 101 ajitosa kuipambania Chadema, Mbowe amchangia Sh2 milioni
Mzee Telesfori Ludovic, mwenye miaka 101 amesema atapambana hadi Chadema ishinde.
Mzee huyo aliyezaliwa Oktoba 1922, amesema hayo leo Jumamosi, Julai 20, 2023, katika mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, uliofanyikia Kata ya Mtukula, Wilaya ya Misenyi, mkoani Kagera.
Mbowe na timu yake wako katika Operesheni +255 Katiba mpya, Okoa bandari zetu waliyoizindua jana Ijumaa, Bukoba mkoani humo.
Tazama Video hapa chini kisa toa neno moja kwa Mzee huyu
Chanzo: Mwananchi