Mon, 26 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kwa kazi ambayo anaifanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ni vyema akapewa maua yake
Dkt. Mwigulu ameyasema hayo Leo June 26,2023 Bungeni Ambapo amesema kuwa kwa fedha ambazo amezitoa Mhe. Dkt. Samia kwa ajili ya miundombinu mbalimbali na miradi ya kimkakati haijawahi kutokea Toka Taifa hili lipate Huru
Aidha Dkt. Mwigulu amesema kuwa hapa inafaa watanzania waelewe kuwa haya ni maendeleo ambayo hayajawahi kufikiwa na wanaposema Kuna wizi katika fedha za Serikali Hilo suala sio la kweli
Chanzo: www.tanzaniaweb.live