Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Musukuma atoa neno wanaobeza PhD yake

66666666666 Joseph Kasheku, maarufu kama Msukuma, Mbunge wa Geita Vijijini

Thu, 9 Dec 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Musukuma, amesema kwamba kuhusu watu wanaobeza PhD yake mitandaoni atalizungumzia jambo hilo kuanzia Ijumaa.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Desemba 8, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, alipoulizwa analipi la kusema baada ya watu wengi kumbeza tangu atunukiwe udaktari wa heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani.

"Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika," amesema Musukuma.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live