Thu, 12 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Saa chache baada ya Baraza kuu la CHADEMA kuwafukuza rasmi Halima Mdee na wenzake 18 kutoka kwenye ukurasa wa Twitter wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameandika.
“Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. Msamaha hutanguliwa na kukiri makosa na kuomba radhi badala ya kiburi cha dhambi, upotovu na upotevu.
“Wakati mwingine hukumu na adhabu ni msingi wa haki, ukweli, nidhamu na maadili. Kukosea ni ubinadamu, kujikosoa ni utu.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live