Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mgombea udiwani CCM apita bila kupingwa

18746 UDIWANI+PIC TanzaniaWeb

Sun, 23 Sep 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

Bukoba. Mgombea udiwani wa CCM Kata ya Kagondo Dk Anatory Amani amepita bila kupingwa baada ya vyama vya upinzani kutokuweka mgombea udiwani kwenye kata hiyo.

Msimamizi wa uchaguzi wa kata hiyo, Veda Kyaishozi amemtangaza leo Septemba 22, 2018 na kumkabidhi barua kama diwani mteule wa kata hiyo.

Baada ya kukabidhiwa barua hiyo Dk Amani amesema

wanachama wa CCM walijiandaa kupambana kwa ajili yake ili kupata ushindi na kubainisha kuwa yupo tayari kuwatumikia.

Chanzo: mwananchi.co.tz