Thu, 23 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baadhi ya Wabunge wa viti maalumu ambao walivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa Bungeni kushiriki Mkutano wa saba kikao cha 50.
Baadhi ya Wabunge wa viti maalumu ambao walivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwa Bungeni kushiriki Mkutano wa saba kikao cha 50. Jana Mahakama Kuu Dar es Salaam ilitupa ombi la wabunge 19 kupinga uamuzi wa Chadema kuwavua uanachama kutokana na kasoro katika jina la mjibu maombi wa kwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live