Tue, 22 Jun 2021
Chanzo: millardayo.com
Mrembo Joan ni mchumba wa Nikk wa Pili ambae jana alikuwa ni miongoni mwa watu walioshuhudia kiapo cha Nikki wa Pili kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. Sasa Joan kupitia Ayo TV & Millardayo.com amefunguka na kuweka wazi ndoto ya Nikki wa Pili ambae leo hii ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya.
Mrembo Joan ni mchumba wa Nikk wa Pili ambae jana alikuwa ni miongoni mwa watu walioshuhudia kiapo cha Nikki wa Pili kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. Sasa Joan kupitia Ayo TV & Millardayo.com amefunguka na kuweka wazi ndoto ya Nikki wa Pili ambae leo hii ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya.
Chanzo: millardayo.com