Sat, 23 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mbunge wa CCM, Abdallah Bulembo ameihoji serikali kuwa kuna wananchi wa Makoko Musoma waliachia eneo mwaka 1982 mpaka leo ni miaka 36 hawajalipwa haki yao ya Bilioni 1.4, Serikali inatoa tamko gani kwa wananchi hao? Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba anajibu.
Mbunge wa CCM, Abdallah Bulembo ameihoji serikali kuwa kuna wananchi wa Makoko Musoma waliachia eneo mwaka 1982 mpaka leo ni miaka 36 hawajalipwa haki yao ya Bilioni 1.4, Serikali inatoa tamko gani kwa wananchi hao? Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba anajibu.
Loading...
Chanzo: bongo5.com