Thu, 20 May 2021
Chanzo: ippmedia.com
Idd amesema hayo leo Mei 19 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa mwaka 2021/2022.
Amesema wakazi wa baadhi ya Kata katika Jimbo lake wanalazimika kwenda milimani kupata mawasiliano ya simu, ambapo huko wanakutana michepuko hivyo kuwa na hatari ya kuvunjika kwa ndoa zao.
“Wakina baba wapo katika hatihati ya ndoa zao kuvunjika, wakinamama halikadhalika wasaidie mpeleke mawasiliano huko,”amesema Idd.
Chanzo: ippmedia.com