Thu, 21 Jan 2021
Chanzo: millardayo.com
Mbunge wa Viti Maalum CCM, Martha Umbulla amefariki dunia jana Jumatano Januari 20, 2021 katika hospitali ya HCG Mumbai, India alikokuwa akipatiwa matibabu, amesema Spika Job Ndugai.
Mbunge wa Viti Maalum CCM, Martha Umbulla amefariki dunia jana Jumatano Januari 20, 2021 katika hospitali ya HCG Mumbai, India alikokuwa akipatiwa matibabu, amesema Spika Job Ndugai.
Chanzo: millardayo.com