Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mbunge Jerry Silaa agoma kusindikizwa na Askari kama Gwajima (Video+)

Video Archive
Tue, 24 Aug 2021 Chanzo: millardayo.com

Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa amefika kuhojiwa katika Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, baada ya kufika kwenye langu la Bunge alikataa kusindikizwa na askari kama ilivyokuwa kwa Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima na baada ya mabishano na afisa mwandamizi wa usalama Bungeni, Peter Magati, Mbunge Slaa alikubali kuongozana na askari hao.

Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa amefika kuhojiwa katika Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, baada ya kufika kwenye langu la Bunge alikataa kusindikizwa na askari kama ilivyokuwa kwa Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima na baada ya mabishano na afisa mwandamizi wa usalama Bungeni, Peter Magati, Mbunge Slaa alikubali kuongozana na askari hao.

Chanzo: millardayo.com