Fri, 22 Mar 2024
Chanzo: Mwanahalisi
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameonesha kusikitishwa baada yam waka jana Bunge kupitisha sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa Kisiasa ambayo imewaingiza wenza wa marais, makamu wa rais na waziri wakuu ambao watalipwa kwa viwango tofauti.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameonesha kusikitishwa baada yam waka jana Bunge kupitisha sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa Kisiasa ambayo imewaingiza wenza wa marais, makamu wa rais na waziri wakuu ambao watalipwa kwa viwango tofauti.
Chanzo: Mwanahalisi