Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Masele awasili bungeni

58590 Pic+masele

Mon, 20 May 2019 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dodoma. Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele amewaaili bungeni leo Jumatatu Mei 20, 2019.

Masele amefika katika viwanja vya Bunge saa 3.40 asubuhi akiwa ameongozana na Mbunge wa Ileje (CCM), Janeth Mbene na mmoja wa watumishi wa chombo hicho cha kutunga sheria alimpelekea kitabu cha kusaini, kisha kuelekea katika ukumbi wa Bunge.

Masele leo Jumatatu anatakiwa kuhudhuria kamati ya  Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kujibu tuhuma za utovu wa nidhamu zinazomkabili.

Chanzo: mwananchi.co.tz