Fri, 9 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda, amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, kuzunguka nchi nzima kusikiliza kero za wafanyabiashara.
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda, amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, kuzunguka nchi nzima kusikiliza kero za wafanyabiashara. Ametoa agizo hilo mkoa wa Njombe akiwa katika Mwendelezo wa ziara yake ya mikoa 20 Back to Back.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live