Wed, 2 Sep 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Msanii pekee aliyepitishwa na Chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi huu wa mwaka 2020, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA anatarajiwa kuzindua kampeni zake kwenye uwanja wa Jitegemee Muheza leo.
Msanii pekee aliyepitishwa na Chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi huu wa mwaka 2020, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA anatarajiwa kuzindua kampeni zake kwenye uwanja wa Jitegemee Muheza leo. Wananchi wa Muheza Tanga leo kwa mara ya kwanza watapata nafasi ya kumuona na kumsikiliza Mgombea Ubunge wa Muheza kwa ticket ya CCM .
Chanzo: zanzibar24.co.tz