Wed, 19 Aug 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Mgombea wa nafasi Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha NLD ndugu Maisha Mapya Mchunguzi amejitokeza ofisi za Time ya Taifa ya uchaguzi NEC na kukabidhiwa fomu ya kugombea nafasi ya hio.
Mgombea wa nafasi Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha NLD ndugu Maisha Mapya Mchunguzi amejitokeza ofisi za Time ya Taifa ya uchaguzi NEC na kukabidhiwa fomu ya kugombea nafasi ya hio. Mgombea huyu kutoka NLD anakamilisha hesabu ya jumla ya vyama 17 vilivyojitokeza kugombea kwa ngazi ya Urais
Chanzo: zanzibar24.co.tz