Tue, 11 Aug 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha NCCR-Mageuzi, Yeremia Maganja akiwa na Mgombea Mwenza ni Haji Ambar Khamis amefika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua fomu ya urais akiwa ni mgombea wa 15 kuchukua fomu.
Mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha NCCR-Mageuzi, Yeremia Maganja akiwa na Mgombea Mwenza ni Haji Ambar Khamis amefika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua fomu ya urais akiwa ni mgombea wa 15 kuchukua fomu.
Chanzo: zanzibar24.co.tz