Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Lowassa adai aliitwa Ikulu na Rais Magufuli akimtaka kurudi CCM ila alikataa

1335 Magufuli Na Lowassa 6 TZW

Tue, 16 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya Chama caha Demokrasiana na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa amesema kuwa alikwenda Ikulu baada ya kuitwa na Rais John Pombe Magufuli akimtaka arudi CCM lakini alimjibu kuhama kwake hakubahatisha.

Chanzo: bongo5.com