Baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kutoa maagizo ya kuzuia mikutano ya vyama siasa ili kupisha mazungumzo kati ya ofisi ya Msajili, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro na vyama mbalimbali vya siasa, leo September 7, 2021 CHADEMA wamekutana na waandishi wa habari kueleza madhara ya jambo hilo kisheria.
Baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kutoa maagizo ya kuzuia mikutano ya vyama siasa ili kupisha mazungumzo kati ya ofisi ya Msajili, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro na vyama mbalimbali vya siasa, leo September 7, 2021 CHADEMA wamekutana na waandishi wa habari kueleza madhara ya jambo hilo kisheria.