Wed, 20 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Zoezi la kuhesabu kura linaendelea kufuatia uchaguzi mdogo wa Ubunge uliofanyika hapo jana katika jimbo la Mbarali mkoani Mbeya.
Wagombea 13 kutoka vyama mbalimbali wanachuana katika kinyang'anyiro hicho.
Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Mbarali umefanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo Francis Mtega kilichotokea Julai Mosi mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live