Wed, 21 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Ndg.Abdulrahman Kinana amekutana nakuzungumza na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania Mhe. Gustavo Martins Nogueira katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam, Juni 21-2023.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Ndg.Abdulrahman Kinana amekutana nakuzungumza na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania Mhe. Gustavo Martins Nogueira katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam, Juni 21-2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live