Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdulrahman Kinana amefungua mafunzo ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, ambapo pamoja na mambo mengine Wajumbe Wanafundishwa mambo mbalimbali yanayohusu Uongozi na Maadili.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdulrahman Kinana amefungua mafunzo ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, ambapo pamoja na mambo mengine Wajumbe Wanafundishwa mambo mbalimbali yanayohusu Uongozi na Maadili. Lengo la mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Dar es Salaam ni kuongeza uwezo na ufanisi kwa Viongozi kuwajibika kwa Chama na Serikali.