Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba, amewaomba wakazi wa Kinondoni kuchagua mgombea wa CCM, Maulid Mtulia kwa kuwa mgombea huyo anasifa zote za kuchaguliwa kuwa Mbunge wa eneo hilo.
Waziri Nchemba akiwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Biafra jijini Dar es salaam amesema kuwa hakuna haja ya wakazi wa Kinondoni
Chanzo: bongo5.com