Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo Chadema, Benson Kigaila amesema kuwa wamepewa barua mbili za malalamiko na msimamizi wa uchaguzi wa Wilaya ya kinondoni wakidaiwa kuvunja kanuni ya maadili ya uchaguzi: Tazama video hii wakitolea ufafanuzi jinsi walivyopokea barua kutoka msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Kinondoni, Aron Kagurumjuli.
Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo Chadema, Benson Kigaila amesema kuwa wamepewa barua mbili za malalamiko na msimamizi wa uchaguzi wa Wilaya ya kinondoni wakidaiwa kuvunja kanuni ya maadili ya uchaguzi: Tazama video hii wakitolea ufafanuzi jinsi walivyopokea barua kutoka msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Kinondoni, Aron Kagurumjuli.