Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Edward Lowassa amemnadi mgombea wao wa Jimbo la Kinondoni Salum Mwalimu amewataka watu wa Kinondoni kuto mpa nafasi Maulidi Mtulia ambaye ni mgombea wa tiketi ya CCM: Tazama video hii Lowassa akipiga kampeni.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Edward Lowassa amemnadi mgombea wao wa Jimbo la Kinondoni Salum Mwalimu amewataka watu wa Kinondoni kuto mpa nafasi Maulidi Mtulia ambaye ni mgombea wa tiketi ya CCM: Tazama video hii Lowassa akipiga kampeni.
Chanzo: bongo5.com