Wed, 31 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Kampeni za Ubunge jimbo la kinondoni zinaendelea kwa kasi, ambapo leo kamera ya Bongo5 ilipita katika mkutano wa Chadema uliofanyika Morocco Magomeni kumnadi mgombea wao, Salim Mwalimu. Mmoja kati wa viongozi waliozungumza katika kampeni hiyo ni mbunge, Zubeda Sakuru.
Kampeni za Ubunge jimbo la kinondoni zinaendelea kwa kasi, ambapo leo kamera ya Bongo5 ilipita katika mkutano wa Chadema uliofanyika Morocco Magomeni kumnadi mgombea wao, Salim Mwalimu. Mmoja kati wa viongozi waliozungumza katika kampeni hiyo ni mbunge, Zubeda Sakuru.
Chanzo: bongo5.com