Sun, 3 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Jumamosi hii asubuhi kamati mbili teule za Spika wa Bunge la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, zilizoundwa kuchunguza na kushauri sekta za uvuvi wa bahari kuu na gesi asilia zitawasilisha ripoti zao.
Soma taarifa hiyo hapa chini.
Loading...
Chanzo: bongo5.com