Mon, 24 Aug 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Aliyekuwa Mbunge wa Lulindi wilayani Masasi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerome Bwanausi amejiunga na chama cha ACT-Wazalendo na kukabidhiwa kadi ya chama hicho.
Aliyekuwa Mbunge wa Lulindi wilayani Masasi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jerome Bwanausi amejiunga na chama cha ACT-Wazalendo na kukabidhiwa kadi ya chama hicho.
Chanzo: zanzibar24.co.tz