Fri, 17 Jul 2020
Chanzo: millardayo.com
Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kwa ticket ya CHADEMA kabla ya kuvuliwa Ubunge na Spika Job Ndugai na juzi kati kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge kwa mara nyingine katika Jimbo lilelile la Arumeru Mashariki.
July 08 mwaka huu wakati anatangaza kuhamia rasmi CCM, Joshua Nassari alisema >>
Chanzo: millardayo.com