Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Iringa Mjini Jesca ashinda Ubunge

F V3r8HE 400x400 Iringa Mjini Jesca ashinda Ubunge

Thu, 29 Oct 2020 Chanzo: millardayo.com

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Iringa Mjini amemtangaza Jesca Msambatavangu wa CCM kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 36,034 dhidi ya mpinzani wake Peter Msigwa Chadema aliyepata kura 19,331 .

Mchungaji Peter Msigwa alikuwa akilitetea Jimbo hilo la Iringa aliloliongoza kwa miaka 10.

LIVE ZANZIBAR: MATOKEO YA URAIS ZANZIBAR

Chanzo: millardayo.com