Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi mara nyingi hakitabiriki na kuwaomba wananchi wa Jimbo la Kinondoni kulinda kura zao baada ya kushiriki kwenye uchaguzi kwani ndiyo njia pekee ya kuwadhibiti CCM.
Mhe. Lowassa ameyasema hayo jana Jumamosi Januari 27, 2018 alipokuwa kwenye ufunguzi wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Kinondoni akimnadi Mgombea wa CHADEMA Salum Mwalimu. Tazama video hapa chini
Chanzo: bongo5.com