Wed, 16 Dec 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai lamewaapisha Wabunge wa nne wa Chama cha ACT Wazalendo ambao ni Mbunge wa Mtambwe Khalifa Mohamed Issa, Mbunge wa Konde Hatibu Said Haji, Mbunge wa Wete Omar Ali Omar na Mbunge wa Chonga Salum Mohamed Shafi.
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai lamewaapisha Wabunge wa nne wa Chama cha ACT Wazalendo ambao ni Mbunge wa Mtambwe Khalifa Mohamed Issa, Mbunge wa Konde Hatibu Said Haji, Mbunge wa Wete Omar Ali Omar na Mbunge wa Chonga Salum Mohamed Shafi.
Chanzo: zanzibar24.co.tz