Mon, 10 Aug 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Kiongozi wa Chama cha CHAUMA Hashim Rungwe amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi na kuchukua Fomu ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 2020.
Kiongozi wa Chama cha CHAUMA Hashim Rungwe amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi na kuchukua Fomu ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 2020. Rungwe ameambatana na mgombea mwenza, Mohammed Masoud. ambapo wameifikisha idadi ya vyama 11 ambavyo tayari vimechukua fomu hizo katika zoezi hilo ambalo lilioanza Agosti 05 mwaka huu na linatarajiwa kuisha Agosti 25, 2020.
Chanzo: zanzibar24.co.tz