Wananchi wa mji wa Bahi mkoani Dodoma wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Shule ya msingi Bahi Sokoni ili kimsikiliza Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli ambaye atawasili muda mfupi ujao asubuhi hii kwa ajili ya kuwaomba Kura ili ili achaguliwe kwa kipindi kingine Cha miaka mitano katika Uchaguzi utakaofanyika Oktoba 28,2020 nchini kote
Wananchi wa mji wa Bahi mkoani Dodoma wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Shule ya msingi Bahi Sokoni ili kimsikiliza Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli ambaye atawasili muda mfupi ujao asubuhi hii kwa ajili ya kuwaomba Kura ili ili achaguliwe kwa kipindi kingine Cha miaka mitano katika Uchaguzi utakaofanyika Oktoba 28,2020 nchini kote