Mon, 23 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Mbunge wa Kawe, Mhe.Josephat Gwajima akiwasili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Mbunge wa Kawe, Mhe.Josephat Gwajima akiwasili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Chanzo: globalpublishers.co.tz