Thu, 29 Oct 2020
Chanzo: millardayo.com
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbeya Mjini, amemtangaza Dr. Tulia Ackson wa CCM kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo ambaye amepata kura 75,225, akifuatiwa na Joseph Mbilinyi wa CHADEMA aliyepata kura 37,591.
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbeya Mjini, amemtangaza Dr. Tulia Ackson wa CCM kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo ambaye amepata kura 75,225, akifuatiwa na Joseph Mbilinyi wa CHADEMA aliyepata kura 37,591.
Chanzo: millardayo.com