Rais wa Uruguay, Luis Lacale Pou akiwa kwenye picha ya pamoja Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson (wa pili kushoto), mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kulia) na Mjumbe wa Bunge la IPU ambaye pia ni mbunge wa Bunge la Uganda, Ester Anyakun.
Rais wa Uruguay, Luis Lacale Pou akiwa kwenye picha ya pamoja Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson (wa pili kushoto), mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kulia) na Mjumbe wa Bunge la IPU ambaye pia ni mbunge wa Bunge la Uganda, Ester Anyakun. Dk Tulia na Rais Pou walikutana wakati wa mkutano kwenye Ukumbi wa Bunge la Uruguay Jumatatu, Septemba 25, 2023.