Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Chikota ataka mfuko wa kuendeleza korosho urejeshwe

WhatsApp Image 2021 05 26 At 08.57.48.jpeg Chikota ataka mfuko wa kuendeleza korosho urejeshwe

Wed, 26 May 2021 Chanzo: ippmedia.com

Akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Kilimo ya Mwaka 2021/22, bungeni leo, Chikota amesema kilichopo sasa hivi kwenye sekta ya korosho ni kizungumkuti.

”Hii ni kwa sababu bodi haijaundwa kwa miaka mitatu sasa lakini hata mtendaji aliyepo ni kaimu na ile bodi ni lidudu lizito kwahiyo lazima tupate mtendaji ambaye yupo imara na muda wote atakuwa anashughulikia korosho na pengine hata mzigo uliopo wizarani utapungua kwa sababu mambo mengine watafanya kwenye ngazi ya level bodi ya korosho.,”amesema.

Amefafanua kuwa mfuko ule ulikuwa na muhimu sana kwa sababu ulitoa fedha kwa ajili ya utafiti, wagani katika halmashauri yetu, usimamizi wa halmshauri na uligharamia ubanguaji mpaka usambazaji wa miche iliyosambazwa nchini.

Chanzo: ippmedia.com