Mon, 25 Nov 2019
Chanzo: mwananchi.co.tz
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimetangaza majina ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ngazi ya Kanda, baada ya kuteuliwa na kikao cha kamati kuu kilichofanyika Novemba 23, 2019. Kusoma majina hayo tafadhali tizama picha zilizoambatanishwa katika habari hii
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimetangaza majina ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ngazi ya Kanda, baada ya kuteuliwa na kikao cha kamati kuu kilichofanyika Novemba 23, 2019. Kusoma majina hayo tafadhali tizama picha zilizoambatanishwa katika habari hii
Chanzo: mwananchi.co.tz